mtima nyongo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 1,947
- 2,047
Iwe kwa ugomvi au maelewano natangaza ugomvi na aspirin nataka kumuoa miss sky eklaty sitaki maelezo yoyote kutoka kwako. Niko Somalia, mwezi ujao narudi nataka tufunge ndoa. Kwangu ni Vigwaza kama utapenda kukaa Vigwaza sio mbaya ila mimi sipendi kukaa tandale.