Natangaza nia...

duuu hii mbona mnada sasa

mkuu si mnada ni maongezi ktk mchakato,nipo napata ushauri maridhawa,nimependa sana kwa ushauri wenye hekima kutoka jamvini.
 
Kuna wanawake pia hawaolewi kwa taratibu za kiimani na afya km wanaume kwahiyo mwisho wa siku ratio inabaki ileile. Usihangaike kwenda kufanya reserch, bonyeza key board, search utaona. Tena huenda ikapungua maana wanawake wana life span kubwa

mkuu nimesahihisha thread kulingana na maoni yako. Basi nabase data za 2003. Sijui una jingne? Asante mkuu!
 
katika maeneo yote niliokutajia sio unatangaza nia, unaangalia mwenyewe kwa muda ukiona anaekuridhisha ndio unamtokea, hivi mie kama mwanamke hata kama ningekuwa sijaolewa ndio mwanaume aniambie ananiweka kwenye probation aone kama naqualify kuwa mchumba! hata sikubali
 
mkuu si mnada ni maongezi ktk mchakato,nipo napata ushauri maridhawa,nimependa sana kwa ushauri wenye hekima kutoka jamvini.

kama kweli uko serious na umeona huyo mtu my be u do have something in common ,
si unamwomba mingie PM jamani mjadiliane, muongee, mcheke, mlie yaani mpaka kieleweke..
au we waonajeeee??
 
Waiii! We nae unaniletea usingizi tu, nivuteshuka nilale mieee!
 
kama kweli uko serious na umeona huyo mtu my be u do have something in common ,
si unamwomba mingie PM jamani mjadiliane, muongee, mcheke, mlie yaani mpaka kieleweke..
au we waonajeeee??
Mambo mamii,umechelewa kufika JF usiku huu nami natangaza nia KWAKO,napita tu nasogea ku-bed.
 

Safi sana unahitajia kuchukua muda wa kujuana kufikia ndoa ,usipungue mienzi sita.

Just for curiousity during what u call probation period utakuwa una gonga !!?

Kila la kheri
 
kama kweli uko serious na umeona huyo mtu my be u do have something in common ,
si unamwomba mingie PM jamani mjadiliane, muongee, mcheke, mlie yaani mpaka kieleweke..
au we waonajeeee??

hapo nakuelewa. Ila mi nliona si vibaya kumjibu coz kaniuliza. Angeni Pm nami ngemPM pia. Ila ushauri wako umefika.
 

Yah hata mimi nilitaka kumwambia lugha hii si chema sana kama uko serious ingawa anaweza asiwe na nia mbaya...

Ni sahihi kuwa kuoa unahitaji muda wa kumjua mwenzako na kujiridhisha kuwa ndio mutu unayetaka kuwa karibu naye siku zote.

Kwa mantiki usitumie kabisa neno hilo maana is obvious kuwa mnahitaji muda wa kujuana ,na ukilitumia linaleta maana tofauti sana ya kukwaza.
 

lady N una maana hutaki mchunguzane?kama mnatofautiana? Nadhani kwa hekima inabidi muwe na muda mrefu kujua tabia,ndo ninachomaanisha. Ndoa za kutojuana vizuri na kugundua baadae hazidumu!
 
Mie naomba nikusahihishe kwenye Takwimu. Si kweli ratio ya wanaume kwa wanawake kwa Tanzania ni hiyo uliyoitaja. Kwa mujibu wa letest census (2002), Mgawanyo ni Females are 17658911 while males are. 16910121. Kwahiyo ni 1:1.04

Yeye kazungumzia ya 2008
 

naelewa fika uzito wa maneno ila tangu awali nimeeleza kuwa nimesema ivyo ili kueleweka Jf,ila huwezi mwambia mtu direct kuwa huu ni mda wa kuchunguzana. Naomba unielewe!
 
 
 
Mambo mamii,umechelewa kufika JF usiku huu nami natangaza nia KWAKO,napita tu nasogea ku-bed.

ivi Uporoto,Id yako ina maana ya mlima wa mbeya?niko huku uporoto kwa wanyakyusa mpaka wikend ndo narudi dsm. Kama uko huku tusalimiane si vibaya.
 
inabidi nimsamehe bure najua ametumia lugha ya .com zaidi
 

Atleast nasi tumeona ukicheka unaonekanaje...! Ahaaa mkoa wa majeshi, huu ni mkoa ni wa kisiasa (Politicisation of the military), usikuumize sana kichwa ila unaweza kupitia hapa ukajisomea huo mkoa upo vipi.

Sasa mdogo wangu, kwani wewe huwa uhudhurii ibada pale kanisani kila J.Pili? Mimi naona ni jambo la busara sana kama unaweza kumshirikisha Mzee mmoja wa kanisa au Padri kwenye parokia yenu, ambaye unajuwa kuwa anaweza kukupa ushauri kuhusu ili jambo... Kwani jambo la kutafuta mwenza ni jambo kubwa sana haswa kwenye jamii zetu hizi... au wewe unaonaje!?

Je umewashirikisha wazee wako... ndugu wa karibu just chaguwa japo ndugu wa makamu akushauri si lazima ndugu wote wajuwe mpango wako... Je huna mabinamu, dada zako ambao wanaweza kukutafutia au kukuonyesha maeneo ambayo wewe yanaweza kukupendezesha? Basi hata marafiki wa karibu huna? Hii ya kutafuta mwenza kwenye www dot komu, mi bado ainiingii akili hata kidogo, bado familia, ndugu au marafiki wa karibu wanaweza kukusaidia.

Kuhusu ili la dini, mi nakushauri bora kutafuta mtu ambaye unaendana naye kiimani, si inapendeza bana ukikwenda kanisani, ukandamana na shemeji au unaonaje? Pia inaweza kuondoa mifarakano hapo mbeleni, kwani watoto wanaweza kutokuwa na misimamo, alafu na wewe ukapata lawama, si unajuwa bana unaweza kosa sakramenti au ulijui ili.

kuhusu elimu wewe mbona umekuwa mwoga bana, kwani akikuzidi elimu, itakuwaje? Si anaweza kuwa ndio chachu ya kukusababishia na wewe ukaongeza kadigirii ka pili au ili litakushinda? Lakini si unajuwa kuwa wanaume ndio kichwa cha familia, pitia kidogo hii mistali Genesis 3:16 na Ephesians 5:22-23, husiwe mwoga kiivyo bana, sasa wale dada zetu wenye madigirii yao itakuwaje mdogo wangu.

haya basi ni hayo tu, nisikuchoshe bure.
 
lady N una maana hutaki mchunguzane?kama mnatofautiana? Nadhani kwa hekima inabidi muwe na muda mrefu kujua tabia,ndo ninachomaanisha. Ndoa za kutojuana vizuri na kugundua baadae hazidumu!
kuchunguzana na kufahamia kwa undani kupo sana, ila most of the tym mwanaume mpakumtokea mwanamke na kumweleza nia yake anakuwa tayari keshamchunguza na karidhika naye, inakuwa ni kazi ya m'ke kumchunguza m'me tena ila inakuwa ni kwa siri!
 
Yeye kazungumzia ya 2008

mutu,jamaa kawa mkali kwenye sensa ya 2002,ili kulinda mada isitoke nje nimeamua nibadili kufuata ushauri wake ila maana iko pale pale kuwa ratio si 1:1 ila kuna umuhimu wa kurefer updated sensa,ya nn tufikirie ya mwaka 2002 wakati ipo ya 08 pia updated 2010? Anyway nimerekebisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…