Asante sana JJ kwa uamuzi wako wa kusimama tena Ubungo. Naamini umejiandaa kwa mengi katika safari yako hii ya ukombozi wa jimbo la Ubungo, character asassinations za kila aina zitatumika kuhakikisha hausimami. Nakuhakikishia jimbo la Ubungo ni lako.. unless otherwise!.
Du nilidhani unakwenda kugombea wewe kumbe unakwenda kumsupport mtu mwingine halafu unatuambia ili iweje?
Tunasubiri tuone ilani ya chama chako kwanza!!!!!!!!!
chama kipi?Mnyika mimi nitagombea udiwani ubungo huko huko. Tutakuwa wote mkuu!
- Mkuu Mnyika, heshima sana ndugu yangu naona tutakutana huko maana mimi ninam-support mgombea wangu tayari hapo ubungo, lakini cha muhimu ni mmoja wenu apite na kuingia bungeni, binafsi nitakuwepo huko Ubungo very soon na nitakutafuta.
- I am looking forward kupambana na your challenge, ninaamini wananchi wa Ubungo watafaidika sana midahalo ya kampeni, soon nitakua right there mkuu looking forward to meet you!
Kila la heri mkuu na Mungu Aibariki Tanzania.
Respect.
FMEs!
Mimi siamini baada ya kuangaika na kampeni mgombeya anaweza kuachia ubunge kirahisi hivyo.Kuna mambo matatu ya msingi ambayo atajiulizaMnyika,
1. Nini msimamo wako kuhusu Tanzania kuwemo kwenye EAC, na 'soko la pamoja'.
2. Pana udaku kwamba ulipewa 'michuzi/rujua/ulua/bakshish/takrima/kitu kidogo' ili matokeo ya uchaguzi wa mwaka ulee yaende kwa mpinzani wako, akikuahidi kwamba 'atakuachia na kukupigia debe' mwaka huu. Wasemaje?
Mlenge