Natangaza rasmi dhamira ya kugombea Ubunge 2010

Safi sana kaka
nakumbuka uchaguzi uliopita vile mageuzi ya matokeo yalivyotuduwaza wengi
tupo pamoja jimboni
 
Nakutakia kila la heri. I wish ningekuwa mpiga kura wa huko, angalao my second time vote since 1995 may make a difference!!! Kule kwa Obama 3 votes made a difference for the long waited Health Insurance!! But mkuu, contesting in the urban setting pose srong challenges!!! Get ready, with determination!!!
 
Generally utakuwa na aidha Keenja ambaye hatishi,au Bi shamsha mwangunga fisadi wa ngorongoro naye wasiwasi labda amwage fedha nyingi na hatoweza kwa mujibu wa sheria.

JIPANGE KIJANA JIMBO LAKO!!!😀
 
gombea mkuu, Dar hapana ugumu wowote bana

Kipipili you are right, hakuna sehemu ambayo ni ngumu kama una nia na madhumuni, Mnyika we Gombea tu mzee, tuko pamoja, na tunakuombea ufanikiwe kulinyakua hilo jimbo, experience yako na akili zako zinatawakomboa wana Ubungo.

Big up kamanda.
 
- Ili uelewe kwamba wana-JF tutakutana huko kwenye uchaguzi wa taifa badala ya kukalia hapa tu, vipi kuna sheria imevunjwa au ni zile zile zako za Biodiesel?

FMEs!

Biodisel? haya bana watu wengine hamkawii kutaka kujinyonga. kumbuka nilikuokoa
 
mwka huu tutoe wbunge wa upinzani wengi kuliko ccm ila upresident ni CCM bado, mmh sioni mwanga kwingine!
 
Nakutakia mafanikio mema katika kulikomboa Taifa. Mkuu kuna watu wamesahaulika sana katika jimbo la Ubungo unalotarajia kuligombea. Je watarajie nini kutoka kwako? Ninaamini wewe ni kiongozi mwenye kujua wajibu wake.
 
Generally utakuwa na aidha Keenja ambaye hatishi,au Bi shamsha mwangunga fisadi wa ngorongoro naye wasiwasi labda amwage fedha nyingi na hatoweza kwa mujibu wa sheria.

JIPANGE KIJANA JIMBO LAKO!!!😀

Look like you do not have a full list of CCM aspirants to the seat.
 
Hongera kijana. angalia wasikuangushe tena. nadhani utagombea pamoja na Nape. cha msingi tunahitaji upizani zaidi bungeni
 
Japo nimehama Ubungo lakini kadi yangu inaniruhusu kupigia kura Ubungo, hivyo mzee Kura yangu bado unayo. Tuombe uzima tu isipotee kabla ya uchaguzi maana nahisi uchaguzi utakapokatibia uizi wa mfukoni utaongezeka kupunguza wapiga kura. maana wengi wanatembea na vikadi vyao kama kitambulisho cha uraia

Bigup Man....
 


Kwanza nianze kwa kukupongeza kwa uamuzi wako wa busara wa kugombea katika jimbo la Ubungo. Ni matumaini ya kuwa kipindi hiki utakuwa more strategic katika kampeni .

Ila nimeshtushwa na mapendekezo ya tume ya uchaguzi ya kuongeza majimbo , mimi nadhani hii ni mbinu ya kisiasa inayokuza ukubwa wa serikali. Ni lazima tutambue ya kuwa tatizo la watanzania sio uwakilishi bali maendeleo ! Kitu kingine kinachonishtua, ni timing ya hili jambo . Kwa nini wasubiri miezi nane kabla ya uchaguzi ufanya hivi ?
 
Kwahi hiyo? Pasiwepo na kugombea? Hatuna haja na bunge? hatuna haja na mabadiliko? je mabadiliko yatakuja vipi wasipopatikana wagombea?
 
asante kwa taarifa mbunge wangu ..ngoja nikajiandikishe nisije kosa kupiga kura...this time lazima kieleweke
 
- Ili uelewe kwamba wana-JF tutakutana huko kwenye uchaguzi wa taifa badala ya kukalia hapa tu, vipi kuna sheria imevunjwa au ni zile zile zako za Biodiesel?

FMEs!
Mi nakushauri ukagombee Mtera au ukamsapoti yule mgombea wa Mtera!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…