NGOITANILE
Member
- Jul 24, 2016
- 55
- 28
Tukomae tu tikiti bovu lipo shamban kwetu hatuwezi kukimbia shamba!Unanitia moyo mana mm shabik mchanga jamani
Hayo ni naazimio ya uongozi, wanataka yanga ikutane na simba mapinduzi ili kujipima Kama kweli Lwandamina anawezaSio kwa kipigo hiki 4-0 jamani kwel au ndio mwaka mpya,....Sijui nitaweka wapi uso wangu..... Nahama TIMU jaman sio kwa aibu hii Yanga .....Azam mmetumwa na Simba Mahasimu
Tangu lini ulikuwa yanga
Mshabiki wa timu huwa ahami timu kwa kufungwa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Sio kwa kipigo hiki 4-0 jamani kwel au ndio mwaka mpya,....Sijui nitaweka wapi uso wangu..... Nahama TIMU jaman sio kwa aibu hii Yanga .....Azam mmetumwa na Simba Mahasimu
Ukitaka kujuwa kama duniani kuna wapumbavu basi njoo Tanzania.huku sgd washabiki wanalia[emoji12] [emoji80]
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] its to much hii kali kabisaYanga amepata kipigo cha mwenda wazimu
Sio kwa kipigo hiki 4-0 jamani kwel au ndio mwaka mpya,....Sijui nitaweka wapi uso wangu..... Nahama TIMU jaman sio kwa aibu hii Yanga .....Azam mmetumwa na Simba Mahasimu
Wacha ujinga. Utajuaje wa kukutana nae na mechi inachezwa kesho?Kubali mmepigwa ARBA.Kama hujui game linavyokwenda kaa kimya !!!!! Ni mchezo wa hesabu na kumtafuta wa kukutana nae