Natangaza rasmi kuihama Yanga

Kuna kademu kanaitwa Demigod leo sijui kana hali gani?
 
Wasalimie sana Pan Africa bila kuwasahau Juma Pondamali, Mohamed Mkweche, Adolf Rishad na Yahya Tostao.

Sio kwa kipigo hiki 4-0 jamani kwel au ndio mwaka mpya,....Sijui nitaweka wapi uso wangu..... Nahama TIMU jaman sio kwa aibu hii Yanga .....Azam mmetumwa na Simba Mahasimu
 
Yanga yangu uwiiiiii nilipo najisikia vibaya sana. Mama kweli yanga wana ubavu wasingefungwa goli nne.Napata wasi wasi kwenye mashindano ya kimataifa. Nahisi tutaboronga kuliko miaka yote. Leo nimeangalia dkk tisini lakini hata shuti moja la kujaribu hamna alafu tumejaza wachezaji wa kimataifa.Hii ni hatari sana
 
Mama=kama
 
Hata man u alipigwa 4 kwa 0 na Chelsea mpira unadunda kaka
 
Shhh wasikusikie utafukuzwa ushabiki bure. Wenzako wana hasira wewe unaleta utani.
 
Naipenda yanga lakini nimeshangaa yanga Leo wamekosa mipango kabisaaaaa Kama unasikiaga kupoteana ndo Leo
 
Naipenda yanga lakini nimeshangaa yanga Leo wamekosa mipango kabisaaaaa Kama unasikiaga kupoteana ndo Leo
Pole. At least wewe ni mpenzi wa migongo wazi asiyetafuta mchawi.Usijali mkuu ngojea rufaa yenu nasikia wachezaji wa Azam kutoka Ghana hawana vibali vya kufanya kazi Zanzibar hivyo mtapewa ushindi wa mezani.
 
Pole. At least wewe ni mpenzi wa migongo wazi asiyetafuta mchawi.Usijali mkuu ngojea rufaa yenu nasikia wachezaji wa Azam kutoka Ghana hawana vibali vya kufanya kazi Zanzibar hivyo mtapewa ushindi wa mezani.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wewe mchokozi sana ujue...
 
Hata man u alipigwa 4 kwa 0 na Chelsea mpira unadunda kaka
Leo ndio mnajua. Nilifikiri mpira wenu wa jiwe haudundi. Kama unadunda punguzeni mdomo. Leo mmeshikwa mnakimbia jukwaa.
 
Nipo jukwaan nawakilisha wanayanga wote waliokimbia!!!! Wale wamebahatisha tu km vile tumeangukiwa na ukuta mbovu
 
Kwani Tanzania kama nchi ni mashindano gani ya kimataifa tunafanya vizuri? Labda mimi si mfuatiliaji nijuze.
 
Sio kwa kipigo hiki 4-0 jamani kwel au ndio mwaka mpya,....Sijui nitaweka wapi uso wangu..... Nahama TIMU jaman sio kwa aibu hii Yanga .....Azam mmetumwa na Simba Mahasimu
We sio yanga we utakua mkia tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…