Uchaguzi 2020 Natangaza rasmi kumpigia kampeni yeyote atakayesimama dhidi ya Magufuli kwenye Kinyang'anyiro cha Urais 2020 akawa serious

We jamaa wa Missenyi eti?
 
 
Mimi kwa kulipenda Taifa hili ,,ntamsapoti Mgombea YOYOTE Imara ,,, orodha yangu ya preference ipo hivi
1;TUNDU ANTIPASS LISSU
2; ZITTO ZUBERI KABWE LUYAGWA
3; JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI
Huyu WA mwisho ni BORA KULIKO Nyalandu na Mbowe,pia Wengine katika vyama vingine
 
Muunge mkono Magufuli wewe, achana na hao vibaraka wa mabeberu.
 

Mkampenie jecha
 
Kuna mstari wa Bible nasikia CCM hawaupendi kabisa " Mwovu hukimbia hata asipokimbizwa"
 
Baada ya kukosa uteuzi ndio unamuona jpm kama shetani?? Komaa naye hivyo hivyo hatuhitaji sapoti yako.
 
Wewe akili zako ulizipima wapi na lini ukajua kama ziko timamu?

Kama ulitumia akili hizo kumpigia kura mwaka 2015, hukujua kama akili zako haziko timamu?

Dawa gani umepata kwa sasa ambayo imefanya akili zako kwa kuwa timamu!

Tanzania kuna vituko!
Narudia tena hakuna mtanzania mwenye akili timamu anaweza kumpigia Magufuli kura.
 
Wewe nilikuambia uombe msamaha kwanza kwa ulitufanyia apo Karagwe,Bukoba Vijijini na Muleba. Kuna siku nitaweka picha yako apa
 
Afdhali umesema ukweli wako. Umekuwa very fair.
 
Bado hawajawa wagombea bado tunasubiri wapitishwe, lakin hakuna mtu mwenye akili timamu atampigia magufuli kura
lakin hakuna mtu mwenye akili timamu hatampigia magufuri kura
 
zitto alivyokamatwa juzi dah! too sad
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…