Natarajia kuanza kuvuna pilipili Novemba wanunuzi jitokezeni

Bila picha ni chai hii.
 

Attachments

  • FB_IMG_17258241808994569.jpg
    201.4 KB · Views: 12
Zimefika bei gani wakuu mimi mwenyew kwenye tareh 20 naanza kutoa mzigo
 
Chakula chenyewe watu wanakipata kwa shida sana , halaf bado wakila wanaweka pili pili, kula huku wanawashwa washwa, haya mateso sijui watu ndio kuyazoea au???πŸ˜‚
kama huli kitimoto huwezi elewa umuhimu wa pilipili na raha yake
 
Chakula chenyewe watu wanakipata kwa shida sana , halaf bado wakila wanaweka pili pili, kula huku wanawashwa washwa, haya mateso sijui watu ndio kuyazoea au???πŸ˜‚
kama huli kitimoto huwezi elewa umuhimu wa pilipili na raha yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…