Natarajia kutembelea Kigali mwezi ujao...mliowahi kufika Kigali piteni hapa

Natarajia kutembelea Kigali mwezi ujao...mliowahi kufika Kigali piteni hapa

falcon mombasa

JF-Expert Member
Joined
Mar 5, 2015
Posts
9,189
Reaction score
9,299
Wakuu Mambo vp

Natarajia kufika mji wa Kigali mwezi ujao...mwenye amewahi kufika au anaishi Kigali aniambie vifuatavyo

Gharama za kulala kwa madaraja yote matatu yaani chini Kati na juu

Nataka kujua kuhusu usalama ukoje kwa ujumla

Safari yangu ni ya siku nne bajeti milion moja na nusu

Kama kuna dondoo napaswa kuzifaham let me know

Je vyakula vyao vikoje


Oops nilitaka kusahau upatikanaji wa bidhaa yetu penda sisi wanaume ukoje
 
First sijawahi kufika ila kwa stori zilipo wanajeshi wapo kila kona na totoz za Kigali bei zake ni gharama usiwaletee mambo ya nipunguzie
 
Cheki thread ya huyo mwana,kuna hints mbili tatu humo.

 
Back
Top Bottom