Mimi nilikuwa mtumishi wa Halmashauri na nilistaafu kwa mujibu wa sheria baada ya kufikisha miaka 60.
Nilipofuatilia mafao yangu hawa wajamaa wakagoma kunilipa wakitoa sababu kuwa mpaka michango yote ambayo Halmashauri ilitakiwa inichangie zichangwe kwanza na Halmashauri husika kwenda PSSF ndipo wanilipe.
Mimi nikawaona hawa jamaa wa PSSF ni wakora sana. Mimi nikawaeleza kuwa mimi sitajali hata kama Halmashauri husika hawatachangia, wanilipe tu fedha zangu nilizochangiwa na Halmashauri husika hata kama ni kidogo bado wakagoma.
Sasa nawapa onyo la mwisho litakalowapata wasije wakanilaumu kwa kuwa fedha ni za kwangu na zilichagwa na Halmashauri na zipo kwenye akaunti yao.
Nilipofuatilia mafao yangu hawa wajamaa wakagoma kunilipa wakitoa sababu kuwa mpaka michango yote ambayo Halmashauri ilitakiwa inichangie zichangwe kwanza na Halmashauri husika kwenda PSSF ndipo wanilipe.
Mimi nikawaona hawa jamaa wa PSSF ni wakora sana. Mimi nikawaeleza kuwa mimi sitajali hata kama Halmashauri husika hawatachangia, wanilipe tu fedha zangu nilizochangiwa na Halmashauri husika hata kama ni kidogo bado wakagoma.
Sasa nawapa onyo la mwisho litakalowapata wasije wakanilaumu kwa kuwa fedha ni za kwangu na zilichagwa na Halmashauri na zipo kwenye akaunti yao.