Mr Chromium
JF-Expert Member
- Aug 20, 2020
- 2,761
- 3,835
Nafuga kuku wa kienyeji Jkisema ulishe mboga za majani za sokoni Utajikuta unapata hasara kubwa sana
kwanza
-Wanakua taratibu sana ( hivo gharama kuwakuzA)
-Soko la kusua sua
-Bei zake si kubwa kama jinsi ya ulivyowakuza
Je kuna mbadala wa mboga majani?
kwanza
-Wanakua taratibu sana ( hivo gharama kuwakuzA)
-Soko la kusua sua
-Bei zake si kubwa kama jinsi ya ulivyowakuza
Je kuna mbadala wa mboga majani?