Ndugu mjasiriamali, nategemea kuanza ufugaji wa ng'ombe wa maziwa na ningeomba wale wote wenye uzoefu waniambie vitu vya lazima vya kuwa navyo au maandalizi:
Natarajia kufugia maeneo ya Dar
Natarajia kuanza na ngombe mmoja
Asante
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Natarajia kufugia maeneo ya Dar
Natarajia kuanza na ngombe mmoja
Asante
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums