Ndugu mjasiriamali, nategemea kuanza ufugaji wa ng'ombe wa maziwa na ningeomba wale wote wenye uzoefu waniambie vitu vya lazima vya kuwa navyo au maandalizi:
Natarajia kufugia maeneo ya Dar
Natarajia kuanza na ngombe mmoja
Asante
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums