Nategemea kwenda kutembea Tanga japo siku mbili.

safari ya siku mbili beba box zima la kondom maana unaweza usirudi ndani ya muda

wasemavyo lakini mimi sijawahi kufika

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kweli Bi Hajar sijawahi na sijui nitakwenda kuishi vipi, maana sijui hata pakwenda kuanzia.
Sasa siku mbili ni kuishi Mkuu sema waenda kuiangalia Tanga, Nenda tu ukishafika ndio utajua huko huko.

Hao niliokutajia wanaijua hasaaa hiyo Tanga hivyo wangekuelekeza wapi pa kuanzia. Ila kwa kuwa hawajafika kwenye huu uzi hivyo we nenda tu Mkuu hakiwezi haribika kitu.
 
Ahsante mkuu,.. Nikienda najua nitapata watu humu humu mpaka maeneo ya kulala.
 
Sesten Zakazaka na 1kush africa mgeni huyu hajawahi fika Tanga jamaani.
Aja leo arudi leo? Basi hebu na apande Raha Leo hadi Makorora maana kule kawaida yao kudeka, azunguke Usagara hadi Sahare apelekwe kuiona Raskazoni arudishwe Nguvumali kama vile endazake Mombasa na akimaliza arudi Majani Mapana atokezee kwa Minchi arudi mpaka round about ya Mabanda ya Papa kama wenda Mabawa
 
Nishampa ramani Hajar sasa akisema kapotea ujue kashakaribishwa na ma alat wa Kitanga anatayarishiwa maji ya kuoga yaliyotiwa mdalasini, hiliki na giligilani, hapo kaulimbiu ya waja leo waondoka leo inaota mbawa
 
Mkuu mbona mie nilienda training week nzima ila sikulala na mwanamke hata mmoja coz kujiheshimu muhimu
 
Ewaaaaaaa. Ashindwe mwenyewe sasa.
 
Nishampa ramani Hajar sasa akisema kapotea ujue kashakaribishwa na ma alat wa Kitanga anatayarishiwa maji ya kuoga yaliyotiwa mdalasini, hiliki na giligilani, hapo kaulimbiu ya waja leo waondoka leo inaota mbawa
Kabisaaaa. Na hapo waeza shangaa kurudi ndio ikawa basi tena. Hahaaaa
 
Sio kweli
Labda ukishawishika mwenyewe na ukatembelea maeneo ya fukwe ambapo wengi wanaogelea na nguo nyepesi.
Tanga asilimia 80 ni muislamu hivyo ni mara chache itokee matukio kama hayo labda kwa wanaofanya biashara haram na wacheza [emoji445] Clubs mbalimbali.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] mmeonaeee.

Mie sijambo namshukuru Allah.
Akimaliza Tanga mjini itabidi apelekwe njia ya kwenda Horohoro apite kijiji hadi kijiji awaone wanatanga wale kindakindaki kabisa, kina 1kushπŸ˜€πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…