Kipipi hicho ndicho kilichonivutia ku comment. pamoja na kusema sio mdau wa chit chat na mkoloni wangu kubania mtandao nikaona nikitoka hivi hivi haitalipa! hebu nijirudie zangu kazini. lolz, endelea kuchokoa nije nisome majibu yenu baadae labda tutaelewa. hahaha!
hahah.....Kaizer leo umenifurahisha kweli, hujui infii wewe, au kwa vile Teamo hayupo eeh? Alafu.....tafadhali bwan'shee, kulikoni mie nikuombee mabaya na mwezi huu kweli?? Au unajihisi tu? Lol