Nateseka sana nikiwa nagegeda

Nateseka sana nikiwa nagegeda

manSniper

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2015
Posts
814
Reaction score
680
Kuna Hali imenitokea kila napokuwa faragha na mwenza wangu siyo Hali ya kawaida maana nachukua Muda mrefu sana bila kufika mshindo.

Muda mwingine mpaka ninae kua nae faragha anakua mkali zamani ilikua naenda dk 5 nafika Kileleni but now hadi lisaa nagegeda tuu adi mgegedo unauma na nikifika mshindo ni kimoja hoi sasa imetokea mpaka nachubuka au nikitumia zana inabast.

Naombeni msaada je hii Hali ni ya kawaida? maana kwa wife naogopa maana ni mjamzito nikisikia hamu kumpa haki yake analalamika sana kuwa nitafanya mimba itoke
 
Kuna Hali imenitokea kila napokuwa faragha na wenza wangu siyo Hali ya kawaida maana nachukua Muda mrefu sana bila kufika mshindo.. Muda mwingine mpaka ninae kua nae faragha anakua mkali zamani ilikua naenda dk 5 nafika Kileleni but now adi lisaa nagegeda tuu adi mgegedo unauma na nikifika mshindo ni kimoja hoi sasa imetokea mpaka nachubuka au nikitumia zana inabast..naombeni msaada je hii Hali ni ya kawaida? maana kwa wife naogopa maana ni mjamzito nikisikia ham kumpa haki yake analalamika sana kuwa nitafanya mimba itoke
Itakuwa umetokea Chugga, maana Dsm vijana ni bata wengi sana dhidi ya Chipsi mayai na vilaini sana.

Wasaidie vijana wenzako wanao shindwa, ni vema ukawapata wale Chura wanao jifanya virimiti, wapasue mpaka moto uwake au tuje kuwasidia?
 
Itakuwa umetokea Chugga, maana Dsm vijana ni bata wengi sana dhidi ya Chipsi mayai na vilaini sana.

Wasaidie vijana wenzako wanao shindwa, ni vema ukawapata wale Chura wanao jifanya virimiti, wapasue mpaka moto uwake au tuje kuwasidia?
umelenga mkuu mm ni wa pande izo
 
Kuna Hali imenitokea kila napokuwa faragha na wenza wangu siyo Hali ya kawaida maana nachukua Muda mrefu sana bila kufika mshindo.. Muda mwingine mpaka ninae kua nae faragha anakua mkali zamani ilikua naenda dk 5 nafika Kileleni but now adi lisaa nagegeda tuu adi mgegedo unauma na nikifika mshindo ni kimoja hoi sasa imetokea mpaka nachubuka au nikitumia zana inabast..naombeni msaada je hii Hali ni ya kawaida? maana kwa wife naogopa maana ni mjamzito nikisikia ham kumpa haki yake analalamika sana kuwa nitafanya mimba itoke
IKIMBIE ZINAA, HATA HIYO AVATAR INAONYESHA UNA UCHU WA................................
 
Mbona ushindwe? uwa unawaza nini mda huo.......................
jaribu ku concentrate
 
Mm huo ugojwa huwa ninao huwa nafikiri ni mm tu kumbe wengi , naweza kufanya halafu nisifike kileleni !
 
Maana yake umemchoka demu wako, hana mvuto au mnatumia staili moja tu na kuboreka! Kuwa mbunifu!
 
Back
Top Bottom