Pole sana, kutofika kileleni ni ishara ya ugumba ndugu!!Kuna Hali imenitokea kila napokuwa faragha na mwenza wangu siyo Hali ya kawaida maana nachukua Muda mrefu sana bila kufika mshindo.
Muda mwingine mpaka ninae kua nae faragha anakua mkali zamani ilikua naenda dk 5 nafika Kileleni but now hadi lisaa nagegeda tuu adi mgegedo unauma na nikifika mshindo ni kimoja hoi sasa imetokea mpaka nachubuka au nikitumia zana inabast.
Naombeni msaada je hii Hali ni ya kawaida? maana kwa wife naogopa maana ni mjamzito nikisikia hamu kumpa haki yake analalamika sana kuwa nitafanya mimba itoke
Tafuta tiba upesi kwani ww sio mzima ni mgonjwa, una matatizo ya nguvu za kiume na uzazi kwa ujumla km inavyojieleza hapa chini [emoji116] [emoji116] [emoji116]
___________________________________
Dalili za ugumba kwa wanaume
Mara nyingi wanaume wagumba huwa
hawaoneshi dalili za moja kwa moja,
jambo ambalo hufanya jamii kuwa na
tabia ya kupeleka mzigo wa lawama
kwa wanawake. Wanandoa wengi
huanza kupatwa na wasiwasi
wanapofikisha mwaka mmoja au zaidi
bila mama kufanikiwa kushika
ujauzito.
Katika kipindi hiki ndipo wanume nao
huanza kuwa na mashaka japo wengi
wao huwa hawaoneshi mashaka hayo
waziwazi mbele ya wenza wao.
Hata hivyo, dalili zifuatazo huashiria
tatizo la ugumba kwa wanaume:
•Kushindwa kutotungisha mimba kwa
miezi 12 au zaidi
•Kuwa na matatizo ya kufika kileleni
kwa mfano kuwahi sana na au
kuchelewa sana au kushindwa kabisa
kufika kileleni
•Kutomaliza tendo la ndoa na uume
kusinyaa wakati wa tendo
•Maumivu ya korodani
•Uvimbe kwenye korodani
•Kupungua kwa korodani au kupotea/
kuingia ndani kwa korodani
•Kupungua kwa vinywelea, ndevu na
hata nywele
•Kuwa na korodani ngumu kupita kiasi
•Kupoteza hamu ya kushiriki tendo la
ndoa
•Tatizo la mwanaume kushindwa
kabisa kuinuka.