KichwaBOGA
Member
- Jun 28, 2020
- 15
- 33
Muda wowote naolewa nikipata mchumba mwenye ela..sipend vibamia wenye navyo mkae kando
----------------
UPDATE
____________
Majuzi kati mie kichwaBOGA Mtoto mrembo toka familia ya kitajiri nilitangaza nia ya kuolewa nishapokea maombi ka miatano ya wanaume, nimewavet nkagundua wote amna kitu wanataman msambwanda wangu na ela zangu tu.
Wote nimewapiga block kwanza sitaki mume tena hadi nitakapotoa utaratibu mwingine nimetongozwa adi na mbunge mstaafu akaaid kunipa nusu ya kiinua mgongo nimekataa mie najiamini.
----------------
UPDATE
____________
Majuzi kati mie kichwaBOGA Mtoto mrembo toka familia ya kitajiri nilitangaza nia ya kuolewa nishapokea maombi ka miatano ya wanaume, nimewavet nkagundua wote amna kitu wanataman msambwanda wangu na ela zangu tu.
Wote nimewapiga block kwanza sitaki mume tena hadi nitakapotoa utaratibu mwingine nimetongozwa adi na mbunge mstaafu akaaid kunipa nusu ya kiinua mgongo nimekataa mie najiamini.