Natia nia ya kuolewa

Natia nia ya kuolewa

KichwaBOGA

Member
Joined
Jun 28, 2020
Posts
15
Reaction score
33
Muda wowote naolewa nikipata mchumba mwenye ela..sipend vibamia wenye navyo mkae kando

----------------

UPDATE
____________

Majuzi kati mie kichwaBOGA Mtoto mrembo toka familia ya kitajiri nilitangaza nia ya kuolewa nishapokea maombi ka miatano ya wanaume, nimewavet nkagundua wote amna kitu wanataman msambwanda wangu na ela zangu tu.

Wote nimewapiga block kwanza sitaki mume tena hadi nitakapotoa utaratibu mwingine nimetongozwa adi na mbunge mstaafu akaaid kunipa nusu ya kiinua mgongo nimekataa mie najiamini.
 
Ndio uende ukaangalie
Yeye mbona hajataka kubet, kasema aina ya kitu kikicho kuwa kimefchwa ndan kabisa. Maan akiend mwanaum, atajua wazi huyu walet imetuna, na zipu imevimba. Aseme kabisa, yeye ananin, asije kuja kulia hapa, tukaenda tukala mzigo, tukaona yaliyopo hayapo, akaja na uzi hapa, OGOPA WANAUME WEUSI, WANAUME WENYE HELA WABAYA, MARA OOH, BORA KIBAMIA...
 
Yeye mbona hajataka kubet, kasema aina ya kitu kikicho kuwa kimefchwa ndan kabisa. Maan akiend mwanaum, atajua wazi huyu walet imetuna, na zipu imevimba. Aseme kabisa, yeye ananin, asije kuja kulia hapa, tukaenda tukala mzigo, tukaona yaliyopo hayapo, akaja na uzi hapa, OGOPA WANAUME WEUSI, WANAUME WENYE HELA WABAYA, MARA OOH, BORA KIBAMIA...
Sasa mkuu kwani ukienda kuonja unapungukiwa nini?
 
Wanaume tunapitia magumu sana.

Unakuta mtoa mada, keshawahi kua Bamedi ,kawa mfanya masaji , kachoooka wee, papuchi imejiishiaa, sasa kaamua kutulia tuli[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Kuna mtu anaokota, anapiga vigelegele nimepataaaaaa
Tuma picha kwanza tuone kama hiyo chura yako inakidh vigezo
 
Back
Top Bottom