National Council for Technical Education (NACTE) Wanafunzi walioomba Shahada ya kwanza

NACTE mambo tayari kwenye profile.

NIMEPATWA NA TATIZO MOJA. MARA YA KWANZA NIMEFUNGUA PROFILE YANGU NAVNIKAFANIKIWA KUONA CHUO NILICHOCHAGULIWA. ILA NIMEFUNGUA MARA YA PILI HIYOHIYO PROFILE INAFUNGUKA LAKINI DETAILS ZOTE SIYO ZA KWANGU KWANI IMENILETEA MAJINA YA AKINA lucas ouma .

wataalamu wa haya mambo mnisaidie hii inasababishwa na nini?
 

probem ni kwamba diploma holders wengi hamjitambu. Ud was not ment for you guy kwenda pale ni feva tu kwa sababu ya mfumo wa elimu ni tofauti na qualification yako. Mzumbe, na vinginevyo vinavyo fanana navyo ndio vyuo vilivyo wekwa maalumu kwa kada yenu form six kule ni feva pia. on ATC haingii form 6 kabisaa kwa sababu sio pake pale jaama. Mnanibore diploma mnaofanya
 
Kuna baadhi ya watu ndo bado lkn ss wengine tushakuwa selected tena wamentumia mpk sms kwenye email nmechaguliwa first choice chuo flani
 

Wewe utakua zero upstairs mimi ni diploma ina maana sikusoma form six?! hivi form 6 unaiona deal sana eti kusema diploma haiwezi kuwa altenative ya form six?

kwa taarifa yako diploma za ED wote ni form 6 na wengine kama mimi tulifanya vizuri form six kuliko hata hawa six wa mwaka huu na vyuo tulipata.

Kilichofanya nije diploma ni ufinyu wa mikopo na matatizo mengine.

Iheshimu Diploma msoto wake na sup form 6 ni ndogo sana.
 
Labda hujanielewa naona wewe yako ndio itakuwa na tatizo mie nimepita kwenye mfumo huo wa elimu ya diploma mpaka mwisho. ni hivi huwezi fananisha diploma na form 6. Na ud was not ment for diploma sasa ninyi mnaeng'ang'ana na ud nafasi pale ni finyu kwenu ni duce mkwawa mwalimu nyerere adult education kama ni mwalimu. wengine ni vyuo vilivyo chini ya NACTE na sio vikuu kwa sababu ya mfumo wa elimu huku na huko unatofauti. Ka wewe ni mwalimu utakuwa umenielewa ama kama ulikuja kusomea diploma kwaajili ya kukimbiza mkopo hili somo gumu sana kwako.
 

Jaribu kulogout ulogin tena
 

hapo umeeleweka ila nilichokua nakataa ni kauli yako kuonesha unaidharau diploma kwamba nikajua umesahau kwamba tupo diploma ambao tumepiga form 6 tena vizuri tu. haya kaka one love NACTE inasomeka hivi sasa na friends wengi wamepata Dom so na mimi najua njia ni hiyo hiyo.
 
waongo tu hao yaan ni majanga tu,mana si tcu wala nacte ni km sio ofsi za serikali;tuvute subra na waendelee kudanganya ili muda wetu uende.
guyz msilalamike sana,kumbuken selection zimafanywa manualy co computer afu mwaka huu wamefaulu wengi sanaaa kuwen wapole wao pia ni binadam.... wale wa nacte kishasanuka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…