Elections 2010 National Elimination Committee (NEC)

everybody

JF-Expert Member
Joined
Oct 30, 2010
Posts
337
Reaction score
103
Jamani mi naona hii NEC inakazi ya Ku-eliminate badala ya kusimamia election. Basi wajiweke wazi kuwa wao ni Elimination committee na kazi yao kuu ni ku-eliminate wale wanaofaa kutokana na matakwa ya wananchi na kuwaingiza wale wanao wafikiria ndo wanafaaa kutokana na matakwa ya waliowaweka madarakani.

Inasikitisha sana.......


aaaaahhhhh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…