National park ni kitu gani?

National park ni kitu gani?

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2021
Posts
9,189
Reaction score
16,128
Hivi tunavyosema national park tunamaanisha nini? Ni sahihi kusema ni Mbuga za wanyama au mbuga za taifa? Kwani national park lazima iwe mbuga? Lazima iwe na wanyama? Tafsiri sahihi ya national park ni nini?
 
Hivi tunavyosema national park tunamaanisha nini? Ni sahihi kusema ni Mbuga za wanyama au mbuga za taifa? Kwani national park lazima iwe mbuga? Lazima iwe na wanyama? Tafsiri sahihi ya national park ni nini?
Ndugu zako wamejazana Simiyu waambie maliasili waje wawakamate wana dhuru sana watoto hawali tena mifupa

Na baadhi ya wenyeji wanawafuga kama kuku
 
Hivi tunavyosema national park tunamaanisha nini? Ni sahihi kusema ni Mbuga za wanyama au mbuga za taifa? Kwani national park lazima iwe mbuga? Lazima iwe na wanyama? Tafsiri sahihi ya national park ni nini?
Ukijibiwa ni tag nirudi
 
Hivi tunavyosema national park tunamaanisha nini? Ni sahihi kusema ni Mbuga za wanyama au mbuga za taifa? Kwani national park lazima iwe mbuga? Lazima iwe na wanyama? Tafsiri sahihi ya national park ni nini?
N mbuga za wanyama za taifa ama hifadhi za taifa, kuna eneo la hifadhi ambayo n Ngorongoro na mapori ya akiba ambayo n GAME RESERVES. Yote hayo yanatofautiana kutokana na uendeshwaji wake .ipo taasis inayoruhusu uwindaj ambayo hufanyika kwenye mapori ya akiba .ipo taasis inayoruhusu mwingiliano wa binadam na wanyamapori ambayo n Ngorongoro conservation area authority na hifadhi za taifa au mbuga za wanyama za Taifa zinakataza yote hayo kufanyika na kubak na jukum moja ya kulinda na kuuza utalii
 
N mbuga za wanyama za taifa ama hifadhi za taifa, kuna eneo la hifadhi ambayo n Ngorongoro na mapori ya akiba ambayo n GAME RESERVES. Yote hayo yanatofautiana kutokana na uendeshwaji wake .ipo taasis inayoruhusu uwindaj ambayo hufanyika kwenye mapori ya akiba .ipo taasis inayoruhusu mwingiliano wa binadam na wanyamapori ambayo n Ngorongoro conservation area authority na hifadhi za taifa au mbuga za wanyama za Taifa zinakataza yote hayo kufanyika na kubak na jukum moja ya kulinda na kuuza utalii
Umefafanua vizuri sana, asante
 
Back
Top Bottom