NATO Genge la Nchi Wahuni

NATO Genge la Nchi Wahuni

Bowie

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2016
Posts
4,373
Reaction score
6,084
Nchi ya Ukraine imeingia katika vita na Urusi baada ya kudanganywa na hili genge la wahuni wa nchi za NATO.

Ikumbukwe wakati wa vita baridi miaka ya 80s kulikuwa na NATO iliyokuwa ikiongozwa na Marekani na Warsaw iliyokuwa ikiongozwa na USSR.

Baada ya nchi na taifa la USSR kusarambatika hili genge la nchi za NATO zimeendelea kujimairisha na limezidi kutanuka kuelekea kwenye mpaka wa URUSI. Ukraine ilikuwa katika hatua za kujiunga na NATO na hii ilikuwa ni tishio kwa taifa la URUSI. Rais Putin wa URUSI ameanzisha vita dhidi ya Ukraine ili kuizuia nchi kujiunga na NATO.

Ikumbukwe NATO imetumika kwa kuwaondoa madarakani Rais wa Libya Gaddafi na Rais wa IRAQ Sadam Hussein na ni NATO hiyo hiyo iliyosambaratisha taifa la Yugoslavia. Kwa kumalizia ni maoni yangu kuwa NATO ni tishio kwa usalama kwa Dunia hii.

 
Nchi ya Ukraine imeingia katika vita na Urusi baada ya kudanganywa na hili genge la wahuni wa nchi za NATO.

Ikumbukwe wakati wa vita baridi miaka ya 80s kulikuwa na NATO iliyokuwa ikiongozwa na Marekani na Warsaw iliyokuwa ikiongozwa na USSR.

Baada ya nchi na taifa la USSR kusarambatika hili genge la nchi za NATO zimeendelea kujimairisha na limezidi kutanuka kuelekea kwenye mpaka wa URUSI. Ukraine ilikuwa katika hatua za kujiunga na NATO na hii ilikuwa ni tishio kwa taifa la URUSI. Rais Putin wa URUSI ameanzisha vita dhidi ya Ukraine ili kuizuia nchi kujiunga na NATO.

Ikumbukwe NATO imetumika kwa kuwaondoa madarakani Rais wa Libya Gaddafi na Rais wa IRAQ Sadam Hussein na ni NATO hiyo hiyo iliyosambaratisha taifa la Yugoslavia. Kwa kumalizia ni maoni yangu kuwa NATO ni tishio kwa usalama kwa Dunia hii.

Muandishi ameandika akiwa katika kijiwe cha kuvuta ugoro.
 
Nchi ya Ukraine imeingia katika vita na Urusi baada ya kudanganywa na hili genge la wahuni wa nchi za NATO.

Ikumbukwe wakati wa vita baridi miaka ya 80s kulikuwa na NATO iliyokuwa ikiongozwa na Marekani na Warsaw iliyokuwa ikiongozwa na USSR.

Baada ya nchi na taifa la USSR kusarambatika hili genge la nchi za NATO zimeendelea kujimairisha na limezidi kutanuka kuelekea kwenye mpaka wa URUSI. Ukraine ilikuwa katika hatua za kujiunga na NATO na hii ilikuwa ni tishio kwa taifa la URUSI. Rais Putin wa URUSI ameanzisha vita dhidi ya Ukraine ili kuizuia nchi kujiunga na NATO.

Ikumbukwe NATO imetumika kwa kuwaondoa madarakani Rais wa Libya Gaddafi na Rais wa IRAQ Sadam Hussein na ni NATO hiyo hiyo iliyosambaratisha taifa la Yugoslavia. Kwa kumalizia ni maoni yangu kuwa NATO ni tishio kwa usalama kwa Dunia hii.

Unaishi kwa nchi za misaada ya nato, hapa penyewe umeleta uzi kwa msaada wa nchi za nato, bado unawaita wahuni. Hebu kuwa na adabu ww Bwana mkubwa
 
Nchi ya Ukraine imeingia katika vita na Urusi baada ya kudanganywa na hili genge la wahuni wa nchi za NATO.

Ikumbukwe wakati wa vita baridi miaka ya 80s kulikuwa na NATO iliyokuwa ikiongozwa na Marekani na Warsaw iliyokuwa ikiongozwa na USSR.

Baada ya nchi na taifa la USSR kusarambatika hili genge la nchi za NATO zimeendelea kujimairisha na limezidi kutanuka kuelekea kwenye mpaka wa URUSI. Ukraine ilikuwa katika hatua za kujiunga na NATO na hii ilikuwa ni tishio kwa taifa la URUSI. Rais Putin wa URUSI ameanzisha vita dhidi ya Ukraine ili kuizuia nchi kujiunga na NATO.

Ikumbukwe NATO imetumika kwa kuwaondoa madarakani Rais wa Libya Gaddafi na Rais wa IRAQ Sadam Hussein na ni NATO hiyo hiyo iliyosambaratisha taifa la Yugoslavia. Kwa kumalizia ni maoni yangu kuwa NATO ni tishio kwa usalama kwa Dunia hii.

Mbona wewe ndio muhuni.
 
Ni panya road Tu kama panya road wengine wa Bongo la mboto!
 
Unaishi kwa nchi za misaada ya nato, hapa penyewe umeleta uzi kwa msaada wa nchi za nato, bado unawaita wahuni. Hebu kuwa na adabu ww Bwana mkubwa
Nyie malamba matako ya hao NATO ndie muwe na adabu
 
Back
Top Bottom