kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Bahati nzuri hakuna hakuna nyumbu anaemsadia mbwamwitu na Simba kuua nyumbu wenzake. Lakini bahati mbaya Kuna waafrika wanaoweza kusaidia wazungu kuua waafrika wenzake. Kuna watu wanaoweza kuzunguuka huko huko kuomba wazungu wainyime msaada nchi yake.
NATO ni kundi la nchi ambazo zinasaidiana kuua kitoweo na kula pamoja. Bahati mbaya vitoweo havina namna ya kujitetea mmojamoja au hata kwenye kundi. Kuna vitoweo ambavyo vinatumika kusaidia NATO kupata vitoweo vyao kabla ya wao wenyewe kugeizwa vitoweo pia.
Africa, Asia na Latin America ni vitoweo vya nchi za NATO hasa uingereza, ufaransa, ubelgiji, Italy, ujerumani, uholanzi, Spain, ureno na Marekani. Nchi hizi haziwezi kuishi bila kupora. Bahati mbaya viongozi wa Africa, Asia na Latin America wanajua lakini hawana cha kufanya juu la hili. Bahati mbaya zaidi nchi hizi zinasita pia kuwa nyuma ya Urusi, china na North Korea kujilinda dhidi ya NATO. Wanarambishwa pelemende (mikopo na misaada) na NATO ili kujitenga na Urusi, China na North Korea wakisubiri muda wao wa kugeuzwa kitoweo mmoja baada ya mwingine kwa nyakati tofauti. Yaani wao hawezi kuungana kumpinga NATO lakini pia hawezi kumuinga mkono waziwazi yule anaeweza kumpinga NATO (adui yao).
Nani katuroga?
NATO ni kundi la nchi ambazo zinasaidiana kuua kitoweo na kula pamoja. Bahati mbaya vitoweo havina namna ya kujitetea mmojamoja au hata kwenye kundi. Kuna vitoweo ambavyo vinatumika kusaidia NATO kupata vitoweo vyao kabla ya wao wenyewe kugeizwa vitoweo pia.
Africa, Asia na Latin America ni vitoweo vya nchi za NATO hasa uingereza, ufaransa, ubelgiji, Italy, ujerumani, uholanzi, Spain, ureno na Marekani. Nchi hizi haziwezi kuishi bila kupora. Bahati mbaya viongozi wa Africa, Asia na Latin America wanajua lakini hawana cha kufanya juu la hili. Bahati mbaya zaidi nchi hizi zinasita pia kuwa nyuma ya Urusi, china na North Korea kujilinda dhidi ya NATO. Wanarambishwa pelemende (mikopo na misaada) na NATO ili kujitenga na Urusi, China na North Korea wakisubiri muda wao wa kugeuzwa kitoweo mmoja baada ya mwingine kwa nyakati tofauti. Yaani wao hawezi kuungana kumpinga NATO lakini pia hawezi kumuinga mkono waziwazi yule anaeweza kumpinga NATO (adui yao).
Nani katuroga?