Natoa 50,000 Kwa mwenye Movie za korean Drama au English Season,1TB kwenda mbele

Mil 3.5 kumbe hii biashara inalipa hivi?
inalipa sana sana sana sana,ila ili ikulipe lazima ujipange kama zilivyo biashara zingine zozote zile,na hii biashara ina hitaji mtaji not less than 1M kuianza.

ukitaka kujua inalipa hawa viumbe niliwafata bei yao wakanianzia 5M ila ktk ku burgain na kulia lia ndio nikashuka nao hadi 3.5M,ila kabla ya hapo nilikua nimejiandaa mfukoni nina 200k hapo nikawa naamini hawawezi chomoa ila baada ya kufika kuonyeshwa movie zilizopo,ilibidi ile 200k nivunge nayo kama sina kitu.

investment yao si ya kitoto mr trabomeka,hawa raia Wanaingiza not less than 500k per day maana single movie wanauza 1000 series wanauza 2000,na wateja zao ni wa kuweka movie za 10k,20k kwenda mbele.

Take a simple look ya hzi office zao kisha ndio utajua Movie zina hela au hazina hela







kwa ajili ya delivery kuna bajaji imetulia pale,wewe piga simu unahitaji movie kuanzia 50k chombo inawashwa unaletewa ulipo.



Hapo ni nnje,sasa njooo Ndani ya OFFICE angaliia palivyo halafu ndio utajua duniani kuna watu wanakula maisha kwa biashara za kiboya sana

 
Naonaga movie point nyingi tu ila sikujua kama kuna deal mpaka za milioni. Kumbe iko vyema.
 
Sasa hauoni a kununua kwa watu tofauti tofauti kitu kile kile mwisho wa siku itakuwa ni duplication ?
 
Sasa hauoni a kununua kwa watu tofauti tofauti kitu kile kile mwisho wa siku itakuwa ni duplication ?
Kwenye movie dupication huwezi i avoid ila unaweza hakikisha inapungua,ninapochukua sehemu tofauti huwa nalenga ni kitu gani nataka ili kukwepa hiyo duplication,hapa nahitaji ONLY SERIES.

ktk upande huo bado siko vizuri,hivyo ni rahisi kwangu kujua series gani tayri ninayo ipi sina,sio kwamba mtu aje na 1TB halafu nichukue bila kukagua,hapana.
 
Ila ungejipanga uwe unashusha mwenye kwa mabundle ya usiku.
naendelea kushusha,sio kwamba sina nimekaa tu HAPANA nina series 3TB hizo ni ONLY SERIES sijamix na single hata 1,sasa kwakua nahitaji kwa ajili ya biashara lazima wakati naendelea zishusha,zingine naendelea Kuzinunua,Malengo yangu ni kumiliki movie za 100TB by december this year.

January 2021 Office ndio nafungua Rasmi,mwaka 2020 wote nipo kwenye kukusanya kila movie/series nitakayokutana nayo mbele yangu.
 
Kwahio tangazo lako ni misleading / halijakamilika unataka series ambazo utauliza ni zipi kwanza, pili kipimo cha 1TB bila kusema quality husika huoni hapo pia ni misleading ? hapo unaweza kupata series nyingi zaidi au chache according to quality
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…