Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Mtoto wangu anakua, kanazidi kuwa karembo. Kanapendeza kamechukua uzuri wa mama yake kabisa. Nakaona nakaangalia nasema hiiiii, baghoshaaaa!
Sasa nmeona niwe mstaarabu.niwe muungwana. Wanasema "ada ya mja hunena uungwana ni vitendo" msije sema hamkuonywa. Mimi sipendi masikhara na mambo ya kishenzi kwa mtoto wangu. Ntakufunga miaka 30 lakini hutoenda huko ukiwa mzima, lazima ntakuwa nimekutia kilema cha maisha kwanza.
Lazima ntakutia alama ambayo kila ukitizama utakumbuka kuwa ulionesha kumtamani au kumtongoza tu mtoto wangu uendelee kukumbuka tabia zako za kibazazi huku ukiwa ndani.
Wakati huo huwezi kukaa vizuri sababu makalio yako yatakuwa yamechakazwa sana ile mbaya yaani wewe unajisaidia bila hata kujua.
Haya nawaambia kwa upole tu kama ndugu yenu ili baadaye utakapopostiwa kwenye magroup ya WhatsApp na social media mbalimbali usishangae.
Ni hayo tu ndugu zanguni.
Sasa nmeona niwe mstaarabu.niwe muungwana. Wanasema "ada ya mja hunena uungwana ni vitendo" msije sema hamkuonywa. Mimi sipendi masikhara na mambo ya kishenzi kwa mtoto wangu. Ntakufunga miaka 30 lakini hutoenda huko ukiwa mzima, lazima ntakuwa nimekutia kilema cha maisha kwanza.
Lazima ntakutia alama ambayo kila ukitizama utakumbuka kuwa ulionesha kumtamani au kumtongoza tu mtoto wangu uendelee kukumbuka tabia zako za kibazazi huku ukiwa ndani.
Wakati huo huwezi kukaa vizuri sababu makalio yako yatakuwa yamechakazwa sana ile mbaya yaani wewe unajisaidia bila hata kujua.
Haya nawaambia kwa upole tu kama ndugu yenu ili baadaye utakapopostiwa kwenye magroup ya WhatsApp na social media mbalimbali usishangae.
Ni hayo tu ndugu zanguni.