The BornAgain
JF-Expert Member
- Jun 23, 2024
- 428
- 582
Habari,
Moja ya maeneo yangu ya ushauri na utendaji kama ushauri na usaidizi ni katika kuchanganua mawazo ya uanzishashwaji miradi ya kiuchumi na kijamii pia uendelezaji wake.
Na katika hayo nipo vema kwenye:
1) Uandishi wa maandiko ya miradi (sio copy/paste au edits), naandika baada ya kufanya study ya kutosha kwenye wazo lako au mradi wako. Itategemea lengo vile tutaongea ili tujue hitaji husika.
2) Ushauri na kutafuta external funds kwa ajili ya mradi wako, ila kumbuka lazima uwe na asilimia kadhaa ya kujichangia mwenyewe sio kukutafutia 100% financing.
3) Kufanya ufuatiliaji na tathmini ya mradi wako popote ulipo Tanzania ili kukupatia report yake na kukushauri kulingana na matokeo ya tathmini au study, kisha ujue mfano kama kuna haja ya kujiongeza zaidi, au kupunguza rasilimali, au kufunga mradi, nk
HII NI KWA AJILI YA WANAOAMINI USHAURI WA KITAALAMU NA ANADHANI ANAPUNGUKIWA WELEDI FULANI KTK MRADI AU BIASHARA YAKE.
Gharama ni kiasi kinachojadilika kwa kadri ya kazi tutayopeana. Na hata kama hufanyiwi basi fanya mwenyewe hayo juu kwani ni mhimu kwa uhai wa mradi wako
Moja ya maeneo yangu ya ushauri na utendaji kama ushauri na usaidizi ni katika kuchanganua mawazo ya uanzishashwaji miradi ya kiuchumi na kijamii pia uendelezaji wake.
Na katika hayo nipo vema kwenye:
1) Uandishi wa maandiko ya miradi (sio copy/paste au edits), naandika baada ya kufanya study ya kutosha kwenye wazo lako au mradi wako. Itategemea lengo vile tutaongea ili tujue hitaji husika.
2) Ushauri na kutafuta external funds kwa ajili ya mradi wako, ila kumbuka lazima uwe na asilimia kadhaa ya kujichangia mwenyewe sio kukutafutia 100% financing.
3) Kufanya ufuatiliaji na tathmini ya mradi wako popote ulipo Tanzania ili kukupatia report yake na kukushauri kulingana na matokeo ya tathmini au study, kisha ujue mfano kama kuna haja ya kujiongeza zaidi, au kupunguza rasilimali, au kufunga mradi, nk
HII NI KWA AJILI YA WANAOAMINI USHAURI WA KITAALAMU NA ANADHANI ANAPUNGUKIWA WELEDI FULANI KTK MRADI AU BIASHARA YAKE.
Gharama ni kiasi kinachojadilika kwa kadri ya kazi tutayopeana. Na hata kama hufanyiwi basi fanya mwenyewe hayo juu kwani ni mhimu kwa uhai wa mradi wako