Mparee2
JF-Expert Member
- Sep 2, 2012
- 3,092
- 5,386
Matokeo ya Darasa la saba hupangwa kwa Mkoa/wilaya kitu ambacho ni kizuri na hata mtu akitaka kuperuzi shule za Wilayani kwake anaweza kuziona zote kwa urahisi.
Au pengine waweke option ya kufilter, mtu akitaka shule za Mkoa X, au Wilaya Y, shule za wasichana, Wavulana, Shule za ufundi, shule za mrengo wa dini flani, Shule za walemavu nk nknk aweze kupata kwa urahisi.
Wanaweza kwenda mbali na kuweza kufilter ili kujua ufaulu wa somo flani kiwilaya/mkoa nk. Hapa tutajua Wala samaki/Mihogo wanafaulu somo gani zaidi nk nk itaweza kusaidia tafiti nyingine.
Mtu yeyote wakiwemo viongozi, hawatakuwa na haja ya kupiga simu Wizarani kuomba hizo report.
Kwa huu mfumo unaotumika Sasa hivi ukiambiwa utafute shule za Sekondari zilizopo mkoa wa Rukwa kwa mfano au hata Morogoro utaishia kubahatisha pengine shule 4 zile za zamani?
Sioni kwa nini mzazi ahangaike kutafutia mtoto shule pengine Mwanza, wakati kupitia tu matokeo ya mitihani ngazi mbalimbali mtu angeweza kuziona shule zote tena kwa technologia rahisi kabisa. Naamini kuongeza hiyo filter hakuna gharama yoyote kwa sababu IT wa Wizara walio ajiriwa wanaweza fanya tu kama sehemu ya kazi.
Au pengine waweke option ya kufilter, mtu akitaka shule za Mkoa X, au Wilaya Y, shule za wasichana, Wavulana, Shule za ufundi, shule za mrengo wa dini flani, Shule za walemavu nk nknk aweze kupata kwa urahisi.
Wanaweza kwenda mbali na kuweza kufilter ili kujua ufaulu wa somo flani kiwilaya/mkoa nk. Hapa tutajua Wala samaki/Mihogo wanafaulu somo gani zaidi nk nk itaweza kusaidia tafiti nyingine.
Mtu yeyote wakiwemo viongozi, hawatakuwa na haja ya kupiga simu Wizarani kuomba hizo report.
Kwa huu mfumo unaotumika Sasa hivi ukiambiwa utafute shule za Sekondari zilizopo mkoa wa Rukwa kwa mfano au hata Morogoro utaishia kubahatisha pengine shule 4 zile za zamani?
Sioni kwa nini mzazi ahangaike kutafutia mtoto shule pengine Mwanza, wakati kupitia tu matokeo ya mitihani ngazi mbalimbali mtu angeweza kuziona shule zote tena kwa technologia rahisi kabisa. Naamini kuongeza hiyo filter hakuna gharama yoyote kwa sababu IT wa Wizara walio ajiriwa wanaweza fanya tu kama sehemu ya kazi.