Natoa pongezi kwa wadada wote wa JamiiiForums mnaonifuata PM mkitaka tuchati nakutaka kujua Mimi ni wa namna gani

Wala hata Haina shida hata kwenye mapenzi Kuna kujitafuta na kujipata😄
🤣🤣🤣🤣 mfyuuuu!!
Ko hapo nilikua najitafuta?! Hivi humu JF mnachukulia vitu serious?!! Me mtu nisiyejulikana sasa nitake kujuana na watu tena kimapenzi wa nini?!
 
🤣🤣🤣🤣 mfyuuuu!!
Ko hapo nilikua najitafuta?! Hivi humu JF mnachukulia vitu serious?!! Me mtu nisiyejulikana sasa nitake kujuana na watu tena kimapenzi wa nini?!
🤣Haya bn mama mjengo Sisi watu wazima tushaelewa
 
Wale tunao chat Whatsappna video call tu comment wapi?[emoji1787]
 
GENTAMYCINE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…