Jamani wadau nimepanga kutoa posa hivi karibuni kwa binti machachari hapa jamvini na kwa jina ni DENA AMSI. Nawakaribisha woteeee tusherekee natumaini hii itakuwa safari yangu ya mwisho wa kuhangaika! Lini na ni wapi just stay tuned!
Kaka nakutakia kila la kheri kwente utoaji wa posa itakapo anza mishakato ya harusi tafadhali usinisahau kamati ya VINYWAJI pls.
jamani umenishindwa mie nisiyevaa kufuli je utamuwezaje yule Dena Amsi anayevaa kufuli, skin tight, bukta, kaptula na baibui juu?
<br />
<br />
Tushamalizana nae huyu wewe ulikuwa hatujaongea
<br />Mh sidhani kama hii ni habari ya kweli.....ngoja wakujitanda aje athiobitshe kwanza!!si yupo hapahapa jamvini,tusiandike mate.....!!
jamani umenishindwa mie nisiyevaa kufuli je utamuwezaje yule Dena Amsi anayevaa kufuli, skin tight, bukta, kaptula na baibui juu?
<br />Hatujaongea wapi bana wakati nakutumia pm haujibu . . .<br />
<br />
Haya bana, we nipotezee tu
Kumbe ehhh.....?Hatujaongea wapi bana wakati nakutumia pm haujibu . . .
Haya bana, we nipotezee tu
<br />Duh...al qaeda?...kajuni naona watu wameanza kutoa pingamizi mapema<br />
.kumbe ulishachumbia kwa Nazjaz?
Sio tu ni binti bali hata kupenda ndo kwanza anajifunza!mh! kumbe Dena Amsi ni kabinti tu
<br />jamani umenishindwa mie nisiyevaa kufuli je utamuwezaje yule Dena Amsi anayevaa kufuli, skin tight, bukta, kaptula na baibui juu?
<br />Sio tu ni binti bali hata kupenda ndo kwanza anajifunza!
<br />
<br />
Chini ya 20
Sana tu dear....ila zaidi nataka uchuliwe ili uniachie Sipiyu wangu!!<br />
<br />
Afadhali kumbe unanipenda hv thanx dear
<br />sina khabari, mi nilijuwa ushaota mvi za ulimi
<br />Sana tu dear....ila zaidi nataka uchuliwe ili uniachie Sipiyu wangu!!