Natoa tahadhari kwa Wanawake wenzangu. Msije sema sikuwaambia

Niko nje ya mada hivi ilo zigo lote lako
 
[emoji3][emoji3]
 
Nikweli kabisa ila sio wote I think ila waongeaji sio wote hawajui wengine wanazuga tu jichanganye unafanyiwa suprize .

Ila kiukweli upo sahihi. rafiki yangu aliuza game Kwa jirani yake wakaenda chumba cha huyo dada huyo kaka alikuwa mkimya haongei ila walipofika home alimpa za kichina china hadi akazima nakumbuka alipewa huduma ya kwanza kosa ni mechi
 
Mimi ni mcheshi sana na muongeaji mnooo, jichanganye siku Moja, utarudi kwako K Haijajirudi yaan bado imeachama, inauma yote ,pengine itakuhitaji muda wa kutosha mwili kurudi sawa na umemeza dawa za maumivu .

Haya mambo hayana Cha muonekano.
Ila wanaume wanaojisifia sana kwenye hii sekta wengi wao ni zero kabisa yaani. Labda wewe utakuwa special mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…