Natoa tahadhari kwa Wanawake wenzangu. Msije sema sikuwaambia

Ninakutunuku Masters ya heshima kwenye sekta hii

Kwa sababu umeongea ukweli mtupu
 
uitaka upigwe mashine mnunulie mmeo migebuka ikaange kwa mafuta ya blueband
 
Ni jumatano, February 8 mwaka 2023

Na huko uturuki kuna tetemeko kubwa sana la ardhi, kwanini mkuu?
Dah, Asante kwa taarifa Mkuu, Yaani uzi umenifanya nijikague vizuri, usikute nishakufa sema sijijui kama nimekufa, nilihisi leo ni jumamosi jioni, tena ile wikiendi ya pasaka...
 
Huko Sasa Ni kukomoana jamani Wala sio mapenzi,jamaa alitisha sana
 
Ukutane na mtu mkimya hivyo halafu bahati mbaya au nzuri jamaa awe amejaliwa mhogo wa chang'ombe,Yaani jamaa Ana mashine isiyopungua inchi 7

Nakwambia hapo lazima uombe poo maana unyama utakaofanyiwa sio wa kitoto.
 
Kudadadeki walahiiiiiπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…