Mwisho tar 31Kwa hiyo mwakani ndio utaacha kunywa hicho kinywaji?
Asante
Karibu
Demiss mama unatumia hivii kama upo kwa mji wa makonda tukutane basement[emoji39] [emoji39] [emoji39]Asante
Rusha mama... huu ndio uzi wetu wa kujidaji.... [emoji39] [emoji39] [emoji39]nipo dom ngj nikutumie vyombo
Rusha mama... huu ndio uzi wetu wa kujidaji.... [emoji39] [emoji39] [emoji39]
AiseeNimekula hapa napumulia feni tu
[emoji39] [emoji39] [emoji39] naona upo na chupa nzito sie tunapiga localll [emoji4] [emoji4] but baadae tunaenda fanya expansion joint...
Naogopa kukutamanisha[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Ebu tupia tuone kama sio kweli
[emoji39] [emoji39] [emoji39] naona upo na chupa nzito sie tunapiga localll [emoji4] [emoji4] but baadae tunaenda fanya expansion joint...
Naona unakunywa msalaba
Karibu
Eeeh mkuu nimetoka kupiga virukuu vya safarii naona mzuka haujii ngoja nishushe huu afu nihamie kwa heinekein tutajulishana kwa picha [emoji4]Naona unakunywa msalaba
Njoo nipe kampanyAisee
Ma padri wana enjoy asikwambie mtu...mkuuNaona unakunywa msalaba
Huyu atakuwa bar tender maana ana picha za beer za papo kwa papo nyingiNimekula hapa napumulia feni tu
Hahahahaaaa, sawa BhanaEeeh mkuu nimetoka kupiga virukuu vya safarii naona mzuka haujii ngoja nishushe huu afu nihamie kwa heinekein tutajulishana kwa picha [emoji4]