technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Kuna propaganda zinaenezwa na ccm kwamba
Chadema ni chama Cha mitandaoni mala wapiga kula wapo vijijini lengo ni kuondoa morari ya wanaotaka kukipigia kula hata wale ambao hawana vyama.
Sasa unajiuliza mji mdogo tu kana Lamadi kule SIMIYU Lissu alipopita watu walikuwa wengi mpaka wanataka kukanyagana na wote wanashangilia jiulize hapo Lamadi watu wangapi wapo jamii forum?
Unaweza ukakuta hakuna hata mmoja ila wana mapenzi na upinzani.
Nenda Bunda, Kule Ntuzu Kahama Nzega wangapi wapo jamii forum? Ila kwanini walimshangilia Lissu mwanzo mwisho ?
Ccm acheni propaganda Lissu ana watu wengi mno na uchaguzi huu hamtoamini kitakachotoke.
Nawashauri chadema Kila watakapopita kwenye kampeni wawaambie wafuasi wao wawe around na vitambulisho vyao pale pale kwenye mkutano.
Ili tuonyeshe Dunia kwamba Tanzania ipo tayari kwa mabadiliko makubwa ya kimfumo.
Lasivyo tutamezwa na propaganda za CCM za kusomba watu wa eneo moja kwenda jingine kwa kutumia magari ya shule.
Watu wapo tayari kwa mabadiliko wapo kimya tu wanasubiri.
Chadema ni chama Cha mitandaoni mala wapiga kula wapo vijijini lengo ni kuondoa morari ya wanaotaka kukipigia kula hata wale ambao hawana vyama.
Sasa unajiuliza mji mdogo tu kana Lamadi kule SIMIYU Lissu alipopita watu walikuwa wengi mpaka wanataka kukanyagana na wote wanashangilia jiulize hapo Lamadi watu wangapi wapo jamii forum?
Unaweza ukakuta hakuna hata mmoja ila wana mapenzi na upinzani.
Nenda Bunda, Kule Ntuzu Kahama Nzega wangapi wapo jamii forum? Ila kwanini walimshangilia Lissu mwanzo mwisho ?
Ccm acheni propaganda Lissu ana watu wengi mno na uchaguzi huu hamtoamini kitakachotoke.
Nawashauri chadema Kila watakapopita kwenye kampeni wawaambie wafuasi wao wawe around na vitambulisho vyao pale pale kwenye mkutano.
Ili tuonyeshe Dunia kwamba Tanzania ipo tayari kwa mabadiliko makubwa ya kimfumo.
Lasivyo tutamezwa na propaganda za CCM za kusomba watu wa eneo moja kwenda jingine kwa kutumia magari ya shule.
Watu wapo tayari kwa mabadiliko wapo kimya tu wanasubiri.