Nimehama makazi ila kuna vitu vya ndani sijahama navyo hivyo navitoa bure kwa mtu anahitaji(mwenye shida kweli) au kama unamjua anayehitaji.
-Godoro zima kabisa
-Nguo- mashati, Tshirts na surual, nguo nzima ila tu ni za kufua
-vyombo vichache vya ndani
Mtu awahi kabla sijakabidhi chumba jumamosi. Dar kigamboni
-Godoro zima kabisa
-Nguo- mashati, Tshirts na surual, nguo nzima ila tu ni za kufua
-vyombo vichache vya ndani
Mtu awahi kabla sijakabidhi chumba jumamosi. Dar kigamboni