Hali ya kawaida ondoa shaka
😳😳😳😳 khaa kuna watu mna majaribu
Haya, ebu elezea pia kuhusu hiyo picha nilio iambatanisha hapo chini tafadhali....View attachment 1195563
Don't google your symptoms , please go to hospital for right check up and treatment.
Thank me later.
hili ndo jibu nlopewa hospitalPole ila binafisi naona kuingia trh 21 it means trh 25 ulitoka period, trh 27 bado ni mapema kulala na mwanaume . siko sure ila nahisi ile sehemu unakuwa bado unaumwa sasa kukutana na mwanaume, na mwanaume mwenyewe ukute ana mguu wa mtoto mhhhhh. Anyway mwone Dr.
Nahitaji kuandika ila naona nimetingwa kidogo, kwa ufupi nenda hospitalini ukafanyie physical examination kwa kutumia vaginoscopy ambao dakatari atachunguza kama kuna mabadiliko yoyote katika cervix, au kuta za uke wako na kama atakuta kuna mabadiliko basi itambidi achukue sampuli kidogo kwa ajili ya uchunguzi zaidi.
Naomba niandike kwa undani zaidi kwa hapo baadae maana kuna kazi imenitinga kidogo hapa mkuu.
Ila kwa dalili za mwanzo hapo inaweza kuwa una tatizo au unaelekea kupata cervical cancer.
Hapana asitumie kwanza dawa yeyote mpaka amuone doct, kwa ushauri wangu, ila tiba inategemea ni kwa kias gani na muda gani tatizo limedumuWasomi mmewaza mbali sana, hiyo dogo ndio mara ya kwanza anaona hiyo hali na hakuna shida nyingine. Antifibrinolytic agents zingemtosha kwa kuanzia kwa mtazamo wangu.
Hongera huo mkwaruzo ukeni hapoo[emoji14]CONCLUSION
Nilifanikiwa kwenda Hospitali Jana ileile baada ya kuhimizwa sana na Wana JF ..
SHUKRANI SANA ...
Baada ya Full Checkup nkagundulika nina Mkwaruzo kidogo ndani Ya uke.... nikapewa dawa ya kukata Damu . ... na nimeambiwa nirudi tar 9 ili wachek tena.... but for now damu iliyodumu kwa siku 3 imekata baada ya kutumia dawa....
Ahsante sana Ndugu zangu.....
#BlessUp
Hahahah!!Pole ila binafisi naona kuingia trh 21 it means trh 25 ulitoka period, trh 27 bado ni mapema kulala na mwanaume . siko sure ila nahisi ile sehemu unakuwa bado unaumwa sasa kukutana na mwanaume, na mwanaume mwenyewe ukute ana mguu wa mtoto mhhhhh. Anyway mwone Dr.
Usjali mkuu, kwa hili nimekuelewa mujarab kabisaMkuu Everything hapa Jf ni fake.... so don consider sana profiles
Pole sana,Ni imani yangu utapona kabisa.JF ni sehemu nzuri kwa ushauri pia.CONCLUSION
Nilifanikiwa kwenda Hospitali Jana ileile baada ya kuhimizwa sana na Wana JF ..
SHUKRANI SANA ...
Baada ya Full Checkup nkagundulika nina Mkwaruzo kidogo ndani Ya uke.... nikapewa dawa ya kukata Damu . ... na nimeambiwa nirudi tar 9 ili wachek tena.... but for now damu iliyodumu kwa siku 3 imekata baada ya kutumia dawa....
Ahsante sana Ndugu zangu.....
#BlessUp
Ndio ila panakuwa sio poa kabisaHahahah!!
Mwanamke kuwa period haina maana ndani ya tumbole kunakuwa na kidonda au kitu kinachopata maumivu kikiguswa...
Niite Dr luckyline😂😂😂hili ndo jibu nlopewa hospital
Ndio ila panakuwa sio poa kabisa
Hapana asitumie kwanza dawa yeyote mpaka amuone doct, kwa ushauri wangu, ila tiba inategemea ni kwa kias gani na muda gani tatizo limedumu
Kudadeki,inasikitisha Sana mwanaume kutamani kuingia MPHaya, ebu elezea pia kuhusu hiyo picha nilio iambatanisha hapo chini tafadhali....View attachment 1195563
dawa nlopewa inaitwa primantinWasomi mmewaza mbali sana, hiyo dogo ndio mara ya kwanza anaona hiyo hali na hakuna shida nyingine. Antifibrinolytic agents zingemtosha kwa kuanzia kwa mtazamo wangu.