Natotolesha mayai ya kuku, tunauza vifaranga

Rion Jr

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2019
Posts
623
Reaction score
691
Habari za jioni wakuu, kama kichwa cha habari kinavyosema.

Natotolesha mayai ya kuku 10000 kwa trei, tunauza vifaranga vya kuroiler na pure kienyeji, pia nakukua wanyama 200 wako tayari kwa biashara, nauza bata (Muscovy)

Napatikana Chanika kwa Singa, namba zangu ni 0746696878.

Karibu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…