herrypeter1
JF-Expert Member
- Jan 17, 2009
- 223
- 30
inapofika usiku nawaza kesho kufika,
siuzuniki kimapenzi naangika kwa kutafuta,
napouliza inakuwaje wengine wanapendwa,
sipati jibu zaidi ya watu kucheka,
mh ilianzia pale nilipofika kwenye umri unaofaaa,
leo wengine wanatafuta wengine wanatenda,
wengine mwaka wanasali kutafuta,
pengine utapata kesho ukifika,
Ni toka moyoni wengine wanatafuta,
pengine atufanani ndo maana unashidwa kuelewa,
aya ndo wanaita mapenzi visa tofauti,
ni wangapi wanalia wengine wanajitundika mtini,
................
Unatafuta au?
Watu tushajiandaa kupm.
Hebu elezea vizuri.
Toka ndani mungu akuone.
Hii kauli si nzuri. Nakushauri usiendelee kuitumia tena.
si amfundisha mwenzie aonekane na wewe mbona wawa mkali hivyo???
sawa mkuu amekuelewa punguza jazba mana mshachakachua mada ya watu..............ni sawa kumfundisha lakini kutumia kauli kama hiyo, ya kupunguza uwezo wa Mungu, dah! Au Mungu ndiyo kweli hawezi kuona ndani? Tuachane na hayo, sijakuwa wa kusema kwa ukali hada sasa...
sawa mkuu amekuelewa punguza jazba mana mshachakachua mada ya watu..............