The Donchop
JF-Expert Member
- Jan 10, 2014
- 294
- 378
Wasalaam wandugu?
Nina matatizo ya scars na chunusi kwenye uso wangu. Kuna mtu aliwahi nishauri jinsi ya kutumia Bio Oil. Nimenunua lakini sielewi jinsi ya kuitumia.
Naimani humu kuna ambao waliwahi kuitumia na wanafahamu vema.
Naomba mwenye kujua tafadhali anijulishe ili niweze kupona huu ugonjwa.
Asanteni.
Nina matatizo ya scars na chunusi kwenye uso wangu. Kuna mtu aliwahi nishauri jinsi ya kutumia Bio Oil. Nimenunua lakini sielewi jinsi ya kuitumia.
Naimani humu kuna ambao waliwahi kuitumia na wanafahamu vema.
Naomba mwenye kujua tafadhali anijulishe ili niweze kupona huu ugonjwa.
Asanteni.