Natunga pamoja na kuandika nyimbo na movie script

Natunga pamoja na kuandika nyimbo na movie script

Fazzah5x

Senior Member
Joined
Aug 10, 2022
Posts
172
Reaction score
243
Habari za leo wakuu,

Yes, kwa wale wadau na wapenzi wa burudani nimeleta jambo hili mbele yenu muweze kunishika mkono au kunionesha njia, nashukuru Mungu nimezaliwa na vipaji mbalimbali lakini nimewekeza mawazo zaidi katika haya;

Umri:22
Jinsia: Me
Categories:
a)Nina uwezo wa kutunga,kuandika
na kupangilia nyimbo za aina zote pamoja na melody zake
b)Naimba pia na kuingiza backvocal
c)Acting&kuandika scripts/stories
d)Dabin &kuingiza sauti pamoja na usimulizi.

Contact:+255625544723(Normal)

Nawasilisha.
 
Habari za leo wakuu,

Yes, kwa wale wadau na wapenzi wa burudani nimeleta jambo hili mbele yenu muweze kunishika mkono au kunionesha njia, nashukuru Mungu nimezaliwa na vipaji mbalimbali lakini nimewekeza mawazo zaidi katika haya;

Umri:22
Jinsia: Me
Categories:
a)Nina uwezo wa kutunga,kuandika
na kupangilia nyimbo za aina zote pamoja na melody zake
b)Naimba pia na kuingiza backvocal
c)Acting&kuandika scripts/stories
d)Dabin &kuingiza sauti pamoja na usimulizi.

Contact:+255625544723(Normal)

Nawasilisha.
👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻
 
Habari za leo wakuu,

Yes, kwa wale wadau na wapenzi wa burudani nimeleta jambo hili mbele yenu muweze kunishika mkono au kunionesha njia, nashukuru Mungu nimezaliwa na vipaji mbalimbali lakini nimewekeza mawazo zaidi katika haya;

Umri:22
Jinsia: Me
Categories:
a)Nina uwezo wa kutunga,kuandika
na kupangilia nyimbo za aina zote pamoja na melody zake
b)Naimba pia na kuingiza backvocal
c)Acting&kuandika scripts/stories
d)Dabin &kuingiza sauti pamoja na usimulizi.

Contact:+255625544723(Normal)

Nawasilisha.
Mpeni kijana Connection
 
Back
Top Bottom