Natural Attractions in Kenya and Tanzania

Hahahaha MOTOCHINI mumepotelea wapi???

Mkenya mmoja Boda254 ndio anawahemesha hvi sssa wawili ama watano si mtajiharia?
Tumepotea!!!
Hehehe nakuambia kwa thread kama hii tutakwenda miaka 10
Mimi natembea sehemu nyingi ktk forum hii
Jukwaa la siasa kule nipo
Hivyo hatukai sehemu moja
Kenyan forums ntakuja kupost jioni
Bado tuna peana Watanzania kwa Watanzania
 
Whatever utavojifanya kumrekebisha kiingereza but ujumbe umeupata nyie foolish thieves hiyo English sio mother tongue unajifanya unaijua kuliko mwingereza Mwenyewe toeni jina LA Kilimanjaro kwenye ndege yenu wapuuzi nyinyi kenge maji

MASKINI JEURI!!!!!!
 
Boda254 nadhani wametiiiiiii
numbers don't lie.
unahitaji kuhesabu idadi ya picha tulizokuwekeeni,halafu mlinganishe na idadi ya vipicha vyenyu.

bila shaka mpaka hapo utakuwa umeng'amua nani ametii.

FYI bado tuna back up ya picha nyingi za maeneo yenye mvuto wa kiasili,hatujaziweka hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…