Nature akiwa amelewa chakari am-diss Harmorapa, adai hana hela ya kumlipa

Nature akiwa amelewa chakari am-diss Harmorapa, adai hana hela ya kumlipa

amedis wapi wakati kaeleza ukweli, nyie ndo huwa mnatunga mabifu yasiyo na misingi
 
Wivu tu unamsumbua, aendelee kutembea na historia yake tu Hamo huyoooo anazidi kuingiza hela now ni balozi wa kinywaji.
 
Watanzania tuache kupandikiza bifu za kijinga........................
 
[HASHTAG]#Harmorapa4OSCARSawards[/HASHTAG]
[HASHTAG]#Harmorapa4BETawards2017[/HASHTAG]
 
Hawa wana khabari wetu ni mtihani hivi unawezaje kumuhoji mtu yupo katika hali hii kisha unarusha hewani!
 
Acha unafiki we [HASHTAG]#TeamBashite[/HASHTAG].

[HASHTAG]#HarmoRapa4MtvAward2017[/HASHTAG].
 
Ni wakati sasa harmorapa kumshirikia dudubaya aka mamba aka oil chafu
 
Hahajaaa Juma yupoo bwiiiiiiiii...anasema....anahela ya kunilipa mm unanvyoniona! [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Back
Top Bottom