Nature akiwa amelewa chakari am-diss Harmorapa, adai hana hela ya kumlipa

Wivu tu unamsumbua, aendelee kutembea na historia yake tu Hamo huyoooo anazidi kuingiza hela now ni balozi wa kinywaji.


Nature ni legend usimfananishe na takataka. Hata kama mnambeza mchango wake kwenye Bongofleva utabaki kwenye historia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…