Wapi hiiKwa mara ya kwanza nimekutana na upinde wa mvua.View attachment 2470167View attachment 2470169
Somewhere Iringa. Nilikuwa shamba ghafla nikaona mbele yangu upinde umedondoka chini. Nikaanza kukimbia kuusogelea. Ndani ya dk 3 nilivyokuwa nausogelea ndivyo ulivyokuwa unazidi kupotea. Ikabidi nipige picha haraka sana. Ndo km ulivyoona.Wapi hii
[emoji2] upinde uko kwenye visible air huwezi kuuona kwa karibu bali kwa mbaliSomewhere Iringa. Nilikuwa shamba ghafla nikaona mbele yangu upinde umedondoka chini. Nikaanza kukimbia kuusogelea. Ndani ya dk 3 nilivyokuwa nausogelea ndivyo ulivyokuwa unazidi kupotea. Ikabidi nipige picha haraka sana. Ndo km ulivyoona.
Aisee kweli, ndio maana nilivyozidi kuusogelea nikawa naona unapotea. Afadhari umenielewesha[emoji1][emoji1][emoji1][emoji2] upinde uko kwenye visible air huwezi kuuona kwa karibu bali kwa mbali
Ulianza mkuu?Asante mkuu. Mungu akijalia nitaanza hii project mwakani. Nitakupa mrejesho.