Nature preserved! Only for nature lovers

[emoji991]Pichani ni mikoko yenye afya katika eneo linalosimamiwa Bagamoyo, na isiyo na afya katika kijiji cha Mdimni, Mkuranga nchini #Tanzania. Mikoko hii imeathiriwa na shughuli za wanadamu na mabadiliko ya tabianchi, na kusogea kwa maji ya bahari.

Leo Jumanne ni Siku ya Mikoko Duniani.

Je, unajua kuwa hekta moja ya mikoko ina uwezo wa kuhifadhi tani 3,754 za kaboni, sawa na kaboni inayotoka kwenye magari 2,650 kwa mwaka?

Fahamu faida zingine za mikoko na jinsi ya kuzitunza na unesco. International Day for the Conservation of the Mangrove Ecosystem I #MangroveDay

Picha: Fredy Anthony Njeje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…