Natuta mchumba

Natuta mchumba

Eberhard

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2010
Posts
1,153
Reaction score
809
Mimi ni kijana wa kiume. Natafuta mchumba. Umri wangu ni miaka 30. awe msikivu kwangu. Awe na umri kati ya miaka 20 hadi 40. Kama uko tayari niibox fasta
 
Mimi ni kijana wa kiume. Natafuta mchumba. Umri wangu ni miaka 30. awe msikivu kwangu. Awe na umri kati ya miaka 20 hadi 40. Kama uko tayari niibox fasta
20-40 hujali dini wala kabila yani awe mchumba......
 
Degree of Freedom yako naona ni kubwa sana..kiasi kwamba ukifanya analysis hautapata jibu nzuri..Narrow down kidogo kaka otherwise utakuja kulia machozi: kila la heri!
 
Degree of Freedom yako naona ni kubwa sana..kiasi kwamba ukifanya analysis hautapata jibu nzuri..Narrow down kidogo kaka otherwise utakuja kulia machozi: kila la heri!

machozi?Kivipi!.Funguka mkuu.
 
Naona hii itakuwa bahati ya mtende kwa wale wadada walio na umri mkubwa ambao hawajawahi kupata waume.....best wishes mkuu
 
Degree of Freedom yako naona ni kubwa sana..kiasi kwamba ukifanya analysis hautapata jibu nzuri..Narrow down kidogo kaka otherwise utakuja kulia machozi: kila la heri!
Funguka mkuu. Mimi sijakulewa kabisa. Zen mimi co Freemason!
 
Naona hii itakuwa bahati ya mtende kwa wale wadada walio na umri mkubwa ambao hawajawahi kupata waume.....best wishes mkuu

aha ahahaah, wakimbilie bahati hiyo sio wanaanza kulinga tena,ooh
 
Degree of Freedom yako naona ni kubwa sana..kiasi kwamba ukifanya analysis hautapata jibu nzuri..Narrow down kidogo kaka otherwise utakuja kulia machozi: kila la heri!
ohooooooo! kumbe unasema freedom!
 
Back
Top Bottom