PACHOTO
JF-Expert Member
- Dec 30, 2011
- 1,321
- 973
Wakuu habari zenu
Nisiwachoshe sana, ni kwamba mke wangu kila anaposhika ujauzito naumwa sana kiuno na hali hiyo itaendelea hadi atakopojifungua nakuwa mzima kabisaa hata chembe ya maumivu, je hali hiyo inatokana na nini na kwa kitaalaam inaitwaje? Naomba kujuzwa
Nisiwachoshe sana, ni kwamba mke wangu kila anaposhika ujauzito naumwa sana kiuno na hali hiyo itaendelea hadi atakopojifungua nakuwa mzima kabisaa hata chembe ya maumivu, je hali hiyo inatokana na nini na kwa kitaalaam inaitwaje? Naomba kujuzwa