A
Anonymous
Guest
Kabla ya nauli kupandishwa mwishoni mwa mwaka jana nauli ya daladala kutoka Kivule fremu 10 hadi Banana ilikuwa 500/=. Baada ya serikali kupandisha nauli toka 500/= kwenda 600/= daladala za huku zimepandisha nauli kutoka 500 hadi 1,000/=
Tunaomba LATRA na mamlaka husika zitusaidie sisi wananchi tunatumia gharama kubwa kwenye nauli
Tunaomba LATRA na mamlaka husika zitusaidie sisi wananchi tunatumia gharama kubwa kwenye nauli