Nauli ya BRT Kenya ni Tshs 3500 kwa safari Moja, BRT Tanzania ni Tshs 650

Nauli ya BRT Kenya ni Tshs 3500 kwa safari Moja, BRT Tanzania ni Tshs 650

joto la jiwe

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2017
Posts
26,117
Reaction score
46,617

Wakuu, hii imekaaje?, BRT ya Tanzania imejenga miundombinu mikubwa yenye kugharimu pesa nyingi zaidi ya Kenya ambao gharama kubwa ni vituo na makopo ya rangi kupaka Barbara, lakini bado nauli ya Kenya ni zaidi ya mara 5 ya Tanzania?.

Katika nchi ambayo wafanyakazi wenye kupokea mshaara wa zaidi ya Tshs 2M kwa mwezi hawazidi 9000, Je hii nauli kweli imezingatia hali ya maisha ya mkenya wa kawaida?
 

Wakuu, hii imekaaje?, BRT ya Tanzania imejenga miundombinu mikubwa yenye kugharimu pesa nyingi zaidi ya Kenya ambao gharama kubwa ni vituo na makopo ya rangi kupaka Barbara, lakini bado nauli ya Kenya ni zaidi ya mara 5 ya Tanzania?.

Katika nchi ambayo wafanyakazi wenye kupokea mshaara wa zaidi ya Tshs 2M kwa mwezi hawazidi 9000, Je hii nauli kweli imezingatia hali ya maisha ya mkenya wa kawaida?

Du mbona kwa njano hivyo? Alafu sijaelewa process ya kulipia kupanda etc. Je hizo footbridge ndio station zenyewe au? Mbona hapo kwenye footbridge kuna takataka?

Kwa hiyo nauli inaonyesha kabisa hawakufanya mradi wa kunufaisha wananchi. Wamefanya tu ili na wao waseme wana brt.
 
Du mbona kwa njano hivyo? Alafu sijaelewa process ya kulipia kupanda etc. Je hizo footbridge ndio station zenyewe au? Mbona hapo kwenye footbridge kuna takataka?

Kwa hiyo nauli inaonyesha kabisa hawakufanya mradi wa kunufaisha wananchi. Wamefanya tu ili na wao waseme wana brt.
Ukisikia Kenya ni" failed state", hii ndiyo maana yake, hata Ulaya na nchi tajiri hakuna nauli kubwa kiasi hiki
 
Nchi ambayo wafanyakazi wenye kupokea mshaara wa Tshs 2M hawazidi 9000?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Habari kaka, can you please share source ya hii data, nataka nitumie kwenye chapisho langu moja la kitaaluma
 
Back
Top Bottom