Zekoddo JF-Expert Member Joined Jul 28, 2022 Posts 1,859 Reaction score 4,539 Oct 6, 2022 #1 Habari za Mchana jamani. Naomba kufahamu nauli ya kutoka Morogoro mpaka Pangani/Tanga hasa kwa wakati huu Mafuta yalivyopungua... Naamini na nauli zitapungua pia. 🙏🙏
Habari za Mchana jamani. Naomba kufahamu nauli ya kutoka Morogoro mpaka Pangani/Tanga hasa kwa wakati huu Mafuta yalivyopungua... Naamini na nauli zitapungua pia. 🙏🙏
H Hoaxer JF-Expert Member Joined Sep 7, 2022 Posts 2,726 Reaction score 6,852 Oct 6, 2022 #2 Unaweza kuja mpaka Bagamoyo unachukua Sea ferry fasta ukaja nayo Hadi Pangani. Ama njoo mpaka Dar uchukue Tashrif kupitia Tanga.
Unaweza kuja mpaka Bagamoyo unachukua Sea ferry fasta ukaja nayo Hadi Pangani. Ama njoo mpaka Dar uchukue Tashrif kupitia Tanga.
Zekoddo JF-Expert Member Joined Jul 28, 2022 Posts 1,859 Reaction score 4,539 Oct 6, 2022 Thread starter #3 Sasa nikija Hadi Dar si ntakuwa narudia tena nyuma Hadi Chalinze to Tanga..?
Kinoamiguu JF-Expert Member Joined Nov 29, 2018 Posts 11,936 Reaction score 15,196 Oct 7, 2022 #4 panda gari za moro, shuka chalinze pale unapanda hadi msata unchukua ndinga hadi Tanga hapo unaenda panda za pangani nauli kama 50 hivi
panda gari za moro, shuka chalinze pale unapanda hadi msata unchukua ndinga hadi Tanga hapo unaenda panda za pangani nauli kama 50 hivi