Hii ni go and return au kwenda tu.Inategemea na season.
Mara nyingi kuanzia $850-1200.
Ndege cheap Ethiopian Airlines via Addis Ababa
Pia Kenya airways via Nairobi via Bangkok
Au Qatar airways via Doha..Pia kuna mashirika mwingine ya kichina.
pitia huu uzi. hutajuta!Habarini wakuu
Naombeni kujua gharama za kusafiri kutoka Tanzania kwenda China mji wa Guangzhou
Ni go and return..Hii ni go and return au kwenda tu.
hixo mbwembwe za nn ameuliza nauli kama hujui kaa kimya au kama unajua lete za madaraja yote!!Inategemea unataka ukae class gani mkuu ,ukae Economy au Business class??
Piga cha Arusha mara-Paaap ushefika ChinaHabarini wakuu
Naombeni kujua gharama za kusafiri kutoka Tanzania kwenda China mji wa Guangzhou
Habarini wakuu
Naombeni kujua gharama za kusafiri kutoka Tanzania kwenda China mji wa Guangzhou
Emirates flights – Book a flight, browse our flight offers and explore the Emirates ExperienceHabarini wakuu
Naombeni kujua gharama za kusafiri kutoka Tanzania kwenda China mji wa Guangzhou
Akutafutie wapi na yeye kaomba msaada hapaNitafute nikusaidie kwa ufafanuzi mzuri.
Mkuu sio kweli kwamba hizo ndege ulizotaja ndio bei rahisi. Angalia emirates, etihad au Qatar ni cheap na pia ni ndege zenye huduma ya kiwango cha juu. Usiogope majina makubwa kwa kudhani ni expensive, la hasha.Mkuu Ndege cheap kutoka Dar ni Ethiopian Airlines hii Connection utaifanyia Addis Ababa, pia kuna Kenya Airways hii Connection utaifanya Nairobi na Bangkok kisha unaingia Guangzhou, lakini unaqeza search ndege cheap zaidi kupitia website za SKYSKANNER na XPEDIA hao ndio Online Agents ambao nawaamini kwa kutoa tickets in cheap price!
NB: Ukisearch mara nyingi nauli ni 1.2 ml. Kushuka chini
Hivi ndege za shirika la China southern airline zinafika Dar siku hizi? Kama kuna direct route ni nzuri Sana.OK Kwa Ndege za China Southern Airlines Ni $996
Note: Gharama inaweza kupanda na kushuka kulingana na Promo na Ukataji Wa Ticket
Akili karatasiMuulize baba yako mzazi
ingia kwenye hii website unachagua mwenyewe na zinakuja ndege nyingi kulingana na bei
https://www.cheapoair.com/fpnext/Air/Listing/s/1/su/3b5b6ad6-674a-497a-887b-6094716aaa0b
Maujinga pipa akili kisoda.Hivi naweza kupata gari ya moja kwa moja kutoka mbagala mpaka zanzibar? Nauli ni shilling ngapi? Na ninachukua muda gani
Inakuwa ni oneway?OK Kwa Ndege za China Southern Airlines Ni $996
Note: Gharama inaweza kupanda na kushuka kulingana na Promo na Ukataji Wa Ticket
labda alifikiri China Plaza ile ya pale barabara ya uhuru kariakoo.Kwani China ni Mbagala